Kaka Zao tunatafuta member walika zote ambao watakua wanapata taarifa zetu zote zitakazo husiana na mipingo yetu...sifa za mamember 1:asiwe msaliti 2:awe mzalendo 3:awe nimwenye kujiamini kulinda nakutetea maswala yote yanayo husiana na kaka Zao 4:awe nimwenye uwezo waushawishi wa Hali na mali katika kuakikisha uwepo Wakaka Zao niuwepo wakudumu na wenye kuheshimika 5:awe nimwenye kuelewa maana na umuhimu wakua member Wa kaka Zao.tafadhari kwa watakao kuwa tayari aniandikie kwenye inbox yangu aambatanisha na number yako ya simu...jah bless u all
https://www.facebook.com/hardmadkidume.mkushi
No comments:
Post a Comment