Breaking News

Tuesday, November 27, 2012

SIMANZI ZATAWALA KWENYE MAZISHI YA JOHN MAGANGA


Wasanii wa filamu wakiingiza mwili wa Maganga nyumbani kwao Mwananyamala A.
Mwili wa marehemu ukiwa ndani ya jeneza.
Katibu Mwenezi wa CCM, Nape Nnauye, akiteta jambo  na rais wa wasanii wa filamu.
Padri  Evodius Miku wa Parokia ya Mwananyamala akinyunyiza maji ya baraka kwenye jeneza.
Dada wa marehemu, Janeth (katikati) akilia kwa uchungu.
Baba wa marehemu, Stephano Maganga (kulia), akiwa na uso wa huzuni.
                                                   Waombolezaji wakifuatilia tukio hilo.
ILIKUWA ni simanzi kubwa kwa  wasanii nchini  waliofika kwenye msiba wa msanii wa filamu, John Steve Maganga,  kwa ajili ya kutoa heshima zao za mwisho.  Maganga aliaga  dunia Jumamosi  iliyopita na maziko yake kufanyika leo katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam ambapo watu wengi walihudhuria.
                                                   NA HARUNI SANCHAWA, GPL

No comments:

Designed By VungTauZ.Com