Breaking News

Friday, December 14, 2012

AZAM WAKIWA UWANJA WA NDEGE WA JK WAKIWA TAYARI KWA SAFARI YA CONGO

 Uhuru
 kutoka kulia Mwaikimba, Babbi na kocha wa makipa wa Kenya, Razzack Ssiwa wakikumbushia enzi zao walipokuwa Yanga, baada ya kukutana Airport leo
 Kipre Tchetche
 Jabir Aziz
 Kocha Stewart Hall 
Himid Mao anachaji simu 
Katibu wa Azam, Nassor Idrisa akiwa na Abubakar Makwisa mida hii ndani ya Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere, Dar es Salaam tayari kwa safari ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kushiriki Kombe la Hisani, mashindano ambayo yanaanza leo
Wachezaji wapya wa Azam FC, Uhuru Suleiman na Seif Abdallah kwa nyuma, wakiwa ndani ya Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere, Dar es Salaam mida hii tayari kwa safari ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kushiriki Kombe la Hisani, mashindano ambayo yanaanza leo mjini Kinshasa.


Wachezaji wanaingia ndani


Daktari wa Azam, Mjerumani Gomiz akiingia uwanja waq ndege


Kutoka kulia Zahor Pazi, Uhuru na Himid


Kutoka kulia Abubakar Mapwisa, Nassor na Abdi Kassim 'Babbi'


Msemaji wa Azam, Jaffar Iddi kulia katikati kipa wa zamani wa Simba na Yanga, Abdulamalik Nemes na Ofisa wa Azam FC, Jemedari Said nje ya uwanja wa Ndege 

No comments:

Designed By VungTauZ.Com