Breaking News

Saturday, December 8, 2012

YALIYOJILI KWENYE BIRTHDAY PARTY YA JACKLINE WOLPER

Jackline Wolper mwanadada wa Bongo Movie jana usiku aliwaalika wadau wengi katika kusheherekea siku yake ya kuzaliwa iliyofanyika katika ukumbi wa Synergy Lounge uliopo Oysterbay, Wadau embu tuone mambo yalivyokuwa..

 Barafu na Richie Mtambalike.

 Juma Chikoka(Chopa) akiwa na mdau Dulla.

 Baadhi ya wanachama wa Bongo Movie wakiwa na furaha..

 The Greastest(wa katikati),Dr.Cheni wa  na Chid Benzi mwanamuziki wa kizazi kipya..

 Maya..

 Irene Uwoya.

 Dr. Cheni kwenye pozi.



 Shamsha Ford.

 Jackline Wolper akiwa na Mke wa Mtitu William..

 Ino Bachard na Lyana Kinyoraa.

 Mtitu akiwa na mkewe..

 Bata zikiendelea.

  Petiman wakuache

Mambo yakizidi kupamba  moto.

 Sinta..


 Monalisa ...


 Bata la kufa mtu....


 Mauuuuuuuuuuuaaa


 Wadau wakisakata rumba...


Bonge la Bwana na Petty Man wa,,,,,,

 Misosi ya kumwaga..

 Gelly wa Rymes

Kijana wangu Inno Bacahard akiwa na Mariam Ismail..

Bataaaaaaaaaaaaaa..

Kalunde Band walitoa burudani ya kufa mtu..

Kisaaaaaaaaanga Chief..

No comments:

Designed By VungTauZ.Com