Wakali wa tuzo za kili kwa takribani miaka mitatu mfululizo Mzee Yusuph na Chid Benz wanataka kufanya bonge moja la kolabo sema jina la nyimbo yenyewe bado lipo kapuni soon i hope litakuwa hewani stay tune mtu wangu.hapa mtoto wa Ilala hapa Mzee wa Dubai
No comments:
Post a Comment