Welcome to the Blog which serves News, Events, entertainment, fashion and lifestyle gists faster than Usain Bolt..lol..It's Hot..its Fresh..it's Original..
Breaking News
Tuesday, July 19, 2016
Audio: Chid Benz na Rayvany wametuletea huu mdundo ‘Chuma’
Baada ya kimya kirefu mkali wa midundo ya Hiphop nchini Chid Benz, anatualika kwenye ngoma yake mpya ya ‘Chuma’aliyomshirikisha Rayvany kutokaWCB, ngoma iliyotayarishwa na proudcer Laizer pamoja na Mr T Touch
No comments:
Post a Comment