Breaking News

Tuesday, July 19, 2016

Audio: Chid Benz na Rayvany wametuletea huu mdundo ‘Chuma’

Chid & RaymondBaada ya kimya kirefu mkali wa midundo ya Hiphop nchini Chid Benz, anatualika kwenye ngoma yake mpya ya ‘Chuma’ aliyomshirikisha Rayvany kutokaWCB, ngoma iliyotayarishwa na proudcer Laizer pamoja na Mr T Touch

No comments:

Designed By VungTauZ.Com