Mkali wa Bongo Fleva, Ben Pol akifanya yake ndani ya Maisha Basement usiku wa kuamkia leo katika shoo ya usiku wa Moyo Mashine jijini Dar.
Mrembo na mwanamitindo Hamisa Mobeto akiongea na Mashabiki (hawapo pichani).
Ben Pol akiebdelea kufanya yake ndani ya Maisha Basement usiku wa kuamkia leo jijini Dar.
(PICHA NA GLOBALPUBLISERS)
No comments:
Post a Comment