Breaking News

Thursday, August 30, 2012

Keita apewa miaka miwili Simba

Clara Alphonce na Imani Makongoro
MWENYEKITI wa Kamati ya usajili ya Simba, Zacharia Hans Pope amesema kuwa wameridhishwa na kiwango kilichoonyeshwa na mchezaji, Komabil Keita na tayari wameingia naye mkataba wa miaka miwili kwa ajili ya kuitumikia klabu hiyo.

Hans pope alisema kuwa hivi sasa wanamalizia mazungumzo na klabu aliyotoka na wapo katika hatua ya mwisho ili wamuombee hati ya uhamisho wa kimataifa (ITC).

Alisema kuwa wameamua kumsajili mchezaji huyo baada ya mchezaji wao Mussa Mudde kuumia mguu na kutakiwa kukaa nje kwa muda huku akipatiwa matibabu.

Hans Pope alisema wataendelea kukaa na Mudde huku wakimtibu mpaka atakavyopona na hawatakatisha mkataba na mchezaji huyo kama ilivyoripotiwa awali.

Hata hivyo, Mudde alipoulizwa na Mwananchi kuhusu suala hilo alisema hakubaliani na jambo lolote la kukatwa au kutolewa kwa mkopo kwenda timu yoyote.

Mudde alisema kwa njia ya simu kuwa yeye hafahamu maendeleo mengine kuhusiana na usajili wake na Simba zaidi ya kusubiri apone na kuja kuitumikia klabu hiyo tofauti na taarifa kuwa amekubaliana na uongozi wa klabu hiyo kuhusiana na kutoichezea timu hiyo kutokana na kuwa majeruhi.

Alisema kuwa yeye anasoma habari zake kupitia mitandao na kushangazwa na taarifa hizo kwani sio za kweli.

ìMimi nilikuwa Tanzania (Dar es Salaam) hivi karibuni, niliitwa na uongozi, lakini mbali ya kuzungumza masuala ya matitabu, hatujazungumza suala lingine kuhusiana na mabadiliko ya mkataba, kuvunja, kutolewa kwa mkopo au utaratibu mwingine, baada ya kumaliza mazungumzo hayo nilirejea nyumbani, kwa kifupi sikubaliani na suala lolote kinyume na mkataba wangu,î alisema Mudde.

Alisema kuwa viongozi wa Simba wanatakiwa kuongea mezani tofauti na taarifa za sasa ambazo yeye anazipta kwa njia ya vyombo vya habari au kupigiwa simu na watu wake wa karibu.

ìLengo langu ni kucheza mpira na nimeumia nikiwa ndani ya Simba, nashukuru kwa kunitibia na sasa naendelea vizuri, ila mipango yao ya sasa ambayo itanifanya nikae nje ya klabu, si kubaliani nayo,î alisema.

Alisema kuwa anaamini kuwa viongozi wa Simba watafuata taratibu kwa mujibu wa sheria na kuiomba Shirikisho la Kandanda nchini (TFF) kuwa makini na suala hilo na wasikubaliane na jambo lolote mpaka kuwe na makubaliano.

Kigingi hicho cha Mudde kinalifanya suala hilo kuwa gumu kwa Simba na hiyo inatokana na taarifa za Afisa Habari wa TFF, Boniface Wambura kuwa makubaliano baina ya oande hizo mbili ndiyo kigezo cha wao kupitisha maamuzi.

Simba kwa sasa ina wachezaji sita wa kigeni kinyume na taratibu za TFF ambazo zinawataka kuwa na wachezaji watano. Wachezaji hao ni Paschal Ochieng (Kenya), Emmanuel Okwi (Uganda), Felix Sunzu (Zambia), Mudde (Uganda) na Daniel Akuffor wa Ghana.

Wambura alisema kuwa endapo Simba watakubaliana na mchezaji huyo kama ilivyokuwa kwa Danny Mrwanda wanaweza kufanikisha malengo yao.
Read more ...

Wednesday, August 29, 2012

KAJALA, LULU WAPEKULIWA GEREZANI


MASTAA wawili wa filamu za Kibongo walioko lupango kwa tuhuma tofauti, Kajala Masanja na Elizabeth Michael ‘Lulu’ wamedaiwa kupekuliwa na askari magereza na kukutwa na vipodozi katika Gereza la Segerea, Dar es Salaam, Risasi Mchanganyiko limeng’atwa sikio.
Kwa mujibu wa chanzo cha ndani ya gereza hilo, mastaa hao walipekuliwa Agosti 25, mwaka huu na kukutwa na baadhi ya vipodozi ambavyo haviruhusiwi kuingizwa gerezani humo.
“Lilikuwa ni zoezi la ghafla ambalo baada ya kufanyika Lulu na Kajala walikutwa na losheni wanazozitumia,” kilisema chanzo hicho.
Chanzo hicho kilizidi kuweka bayana kuwa, mastaa hao ni warembo ambao wamezoe kila wakati kujiweka ‘sopusopu’, hivyo askari magereza walihisi watakuwa na vitu hivyo ukizingatia hivi sasa Kajala anazidi kupendeza pamoja na kwamba yupo gerezani.
“Vipodozi vile vilichukuliwa na wao kupewa onyo kwamba wasirudie kuviingiza tena gerezani la sivyo yatawapata makubwa zaidi,” kilimalizia chanzo chetu hicho.
CHANZO:www.globalpublishers.info
Read more ...

Sunzu, Akuffor wampasua kichwa Milovan


Na Khatimu Naheka
KOCHA Mkuu wa Simba, Milovan Cirkovic, amesema idadi ya washambuliaji katika kikosi hicho, inampa ugumu wa kuamua nani acheze na nani asicheze.
Simba ipo jijini Arusha kwa zaidi ya wiki tatu sasa ikijiandaa na Ligi Kuu Tanzania Bara. Tayari Milovan ana ‘mashine’ saba zinazoweza kucheza kwenye safu ya ushambuliaji ambazo ni Felix Sunzu, Abdallah Juma, Daniel Akuffor, Kigi Makasi, Haruna Moshi, Mrisho Ngassa na Uhuru Selemani.
Milovan ameliambia gazeti hili kuwa, wachezaji hao wana viwango bora huku tofauti yao ikiwa ndogo, hali inayompa ugumu hasa katika mfumo anaotaka autumie, 4-3-3.
“Safu yangu ya ushambuliaji inanipa tabu katika kuamua nani aanze kwenye mechi kutokana na nyota wangu wote wanaocheza katika sehemu hiyo kuwa katika viwango bora.
“Tumecheza jana (Jumapili-dhidi ya Mathare United ya Kenya) tukatumia mfumo wa 4-3-3 lakini kila mchezaji aliyecheza katika sehemu ya ushambuliaji, ameonekana kuwa bora ingawa tofauti zipo lakini siyo kubwa sana, inapofikia hali kama hiyo kama kocha nafurahi lakini katika uamuzi inaniwia vigumu,” alisema Milovan.
CHANZO: www.globalpublishers.info
Read more ...

Kim Kardashian planning another fake TV wedding


Fame whore Kim Kardashian sparked rumors of a possible wedding to good pal Kanye West when she tweeted this pic of herself wearing a wedding dress along with the caption “Late night fitting #pucci.”

West, 35, also sparked rumors when he commissioned a design for an engagement ring last month.

Kardashian, who is still married to her last victim, Kris Humphries, often demands exorbitantly priced engagement rings from suckers within weeks of ensnaring them in her traps. This is typical behavior of women with borderline personalities.

Parents, please educate your sons about women like Kim so they don’t fall into their trap.

As you know, female narcissists move fairly quickly when they spot a suitable target.

Men who are unfortunate enough to fall for a female narcissist find themselves in committed relationships within days. The female narcissist expects a proposal for marriage within weeks, and the poor guy feels rushed but he tolerates her demands because he believes he’s in love.

This sick cycle is repeated often by broads like Kim Kardashian.

According to an article on Psychology Today’s website titled How To Spot a Narcissist:
Women who score high on tests of narcissism consistently dress more provocatively than their more modest counterparts; male narcissists resort to displays of wit and braggadocio.
Female narcissists engage in more disagreeable verbal behaviors, arguing and cursing more—and using more sexual language.
Female narcissists are promiscuous and always searching for a better deal.
Female narcissists can abruptly lose their charm if challenged or threatened by their targets.
They often exhibit two-face behavior
They get angry when rejected, overreacting to small slights and punishing those who do not support their grandiose image of themselves.
Female narcissists get away with these behaviors because they are so beautiful and charming.
Read more ...

Chris Brown doesn’t care what you think…


On Tuesday, troubled singer Chris Brown tweeted this pic of himself wearing a skirt and leggings on his Twitter page. The androgynous photo left Brown’s fans confused about the message he is sending them.

Brown has been the subject of gay rumors almost from the moment he burst on the scene as a teenage phenom. One rumor has it that Brown beat Rihanna to a pulp in 2009 because she threatened to go public with the truth about his gay trysts with men.

But, according to my well-connected source, the 23-year-old singer is not gay. “He’s all man,” said my source.
Read more ...

WE MISS MJ! Happy 54th Birthday Michael Jackson!


Today would have been the 54th birthday of the King of Pop. Moonwalk to his memory inside...

The legacy of Michael Jackson lives on in the hearts of millions of fans around the world through his gift of music. And though his kids and family were recently engaged in a vicious public battle, the King of Pop's musical legacy still retains its fresh and timeless appeal.

And fans have also found other ways outside of music to keep Michael's legacy alive. Clark-Atlanta University now offers a course on singer called Micheal Jackson: The Business of Music. And Spike Lee is producing a documentary on MJ for ABC called "Bad 25." Spike said,

“This will be a very special Thanksgiving for all families to enjoy the genius of Michael Jackson. Big thanks to ABC for allowing people to witness the making of Michael Jackson’s ‘Bad’ album.”
Read more ...

YANGA KUCHEZA NA COASTAL JUMAMOSI


Kikosi cha Mabingwa wa Kombe la Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (KAGAME) - Young Africans.

Mabingwa wa Kombe la Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (KAGAME) timu ya Young Africans Sports Club iliyokuwa imeweka kambi ya wiki moja nchini Rwanda kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa ligi kuu, itashuka dimbani kucheza na Coastal Union ya Tanga siku ya jumamosi Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Akiongea na mtandao wa klabu www.youngafricans.co.tz Afisa Habari wa klabu ya Yanga Louis Sendeu amesema watatumia mchezo huo kama sehemu ya maandalizi ya ligi kuu nchini, inayotazamiwa kuanza mwezi septemba.
Young Africans iliyokuwa nchini Rwanda kwa muda wa wiki moja, ilicheza michezo miwili ya kujipima nguvu na timu za Rayon Sports na Police Fc.
Katika mchezo wa kwanza, Young Africans iliifunga Rayon Sports mabao 2- 0, mabao yaliyofungwa na Saimon Msuva na Hamis Kiiza, huku mechi ya pili dhidi ya Police Yanga iliibuka na ushindi wa mabao 2-1, mabao yakifungwa na Nadir Haroub 'Cannavaro' na Stephano Mwasika.
Timu ilirejea siku ya jumatatu kutoka Kigali Rwanda na jana iliendelea na mazoezi katika uwanja wa shule ya sekondari Loyola ambapo inaendelea na mazoezi kila siku asubuhi kwa kipindi hichi chote cha maandalizi ya ligi kuu.
Aidha mchezaji mpya kutoka APR FC ya nchini Rwanda, mlinzi Mbuyu Twite anataajiwa kuwasili kesho majira ya mchana saa 9, akitokea nchini Rwanda alipobakia kwa ajili ya kukamilisha taratibu za kuja nchini na familia yake.
Mbuyu Twite anawasili kesho mchana kwa shirika la ndege la Rwanda Air akiwa sambamba na mjumbe wa kamati ya utendaji Abdallah Bin Kleb aliyekua amebakia pia nchini Rwanda kuhakikisha Twite anakamilisha zoezi hilo.
Viiingilio vya mchezo dhidi ya Coastal Union siku ya jumamosi ni:
VIP A, 20,000/=
VIP B & VIP C , 10,000/=
Orange, 5,000/=
Blue & Green 3,000/=
Wapenzi, wanachama na washabiki wa Young Africans mnaombwa kujitokeza kwa wingi siku ya jumamosi Uwanja wa Taifa , itakua ni fursa ya kuwaona wachezaji wote waliosajili msimu huu.
"YANGA DAIMA MBELE, NYUMA MWIKO"
Read more ...

MISS ILALA TALENT SHOW KURINDIMA KESHO NYUMBANI LOUNGE


Warembo wanaoshiriki kwenye shindano la Redd's Miss Ilala 2012 wakiwa kwenye picha ya pamoja.

VIMWANA 14 wanaotarajiwa kupanda jukwaani kuwania umalkia wa Kanda ya Manispaa ya Ilala, Redds Miss Ilala 2012 kesho Agosti 30, 2012 kwenye ukumbi wa Nyumbani Lounge, watamenyana kuwania taji la mrembo mwenye kipaji, ikiwa ni sehemu ya kuelekea shindano lenyewe litakalofanyika Septemba 7, mwaka huu.
Warembo hao ambao wamejiandaa vilivyo kila mmoja akiwa amejiandaa katika kipengele anachokimudu zaidi, wamekuwa wakipata maelekezo ya kuboresha wanachotaka kukifanya kwa walimu wa fani ya sanaa mbalimbali.
Katika shindano hilo litakaloanza saa 2;00 usiku, bendi ya mapacha watatu watatumbuiza ndani ya ukumbi huo kwa kiingilio cha sh 10,000 tu. Redds Miss Ilala inayoshikilia taji la Miss Tanzania kupitia mrembo wake, Salha Israel, tumejiandaa vilivyo mwaka huu kuonesha mambo mengi yatakayowavutia mashabiki siku ya shindano hilo.
Mbali ya maandalizi ya shoo, pia mwaka huu tumejiandaa vizuri kuhakikisha taji hilo linaendelea kubaki katika manispaa yetu na ili katika kujiweka sawa na hilo, warembo wamekuwa wakijifua kwa takriban wiki nne sasa chini ya ukufunzi wa Slyvia Mashuda tayari kwa shindano hilo litakalofanyika Septemba 7 kwenye ukumbi wa nje wa Nyumbani Lounge.
Slyvia ni Miss Tanzania namba mbili mwaka 2008, akiwa Miss Ilala wa mwaka huo akishiriana na Neema Mbuya sanjari na Dickson Daudi wa THT katika shoo. Miss Ilala ambayo tumeshatoa warembo wanne waliotwaa taji la Miss Tanzania kuanzia mwaka 1999, (Hoyce Temu), 2000 (Jacquline Ntuyabaliwe aka K-Lyne), 20029( Angela Damas Mutalimwa) na Vodacom Miss Tanzania, Salha Israel anayeshikilia taji hilo.
Warembo hao kutoka vitongoji vya Dar City Center, Tabata na Ukonga wamekuwa wakiendelea na mazoezi katika Club ya Nyumbani Lounge, iliyopo maeneo ya Namanga, Dar es Salaam. Washiriki hao ni pamoja na Mary Chizi, Matilda Martin, Magdalena Munisi, Suzan Deodatus, Whitness Michael, Stella Moris na Elizaberth Pertty.
Warembo wengine ni Wilmina Mvungi, Zawadi Mwambe, Rehema Said, Diana Simon, Amina Sangwe, Noela Michael na Phillios Lemi.
Mbali ya Uhuru One, Wadhamini wengine katika mashindano hayo ni pamoja na Dodoma Wine, City Sports Lounge, gazeti la Jambo Leo, Nyumbani Lounge, 100.5 Times FM, Redio ya watu 88.4 Cloud's FM na Redds Premmium Cold.
Natanguliza shukrani,
Gadna G. Habash
Mkurugenzi Machozi Entertainment
Read more ...

MISS MWANZA 2012 NI MTIKISIKO IJUMAA






Warembo Redds Miss Mwanza 2012/13 wakiwa kambini katika Hoteli ya Isamilo Lodge, ambapo warembo 18 kutoka wilaya zote za Mkoa wa Mwanza, watashiriki shindano hilo, linalotarajiwa kufanyika siku ya Ijumaa tarehe 31/08/2012 ndani ya Yatch Club jijini Mwanza.

FAINALI za Miss Mwanza 2012, zinatarajiwa kulitikisa Jiji la Mwanza Ijumaa hii.
Shindano hilo mwaka huu, limeonesha kuwa na msisimko wa hali ya juu kutokana na hali halisi kujionesha kwamba warembo
wa shindano hilo mwaka huu ni tishio hata kwa Miss Tanzania.
Tathmini ya mashindano ngazi mbalimbali kuelekea Miss Tanzania mwaka huu, inaonesha kuwa mrembo atakayeshinda Miss
Mwanza mwaka huu, anayo nafasi kubwa ya kuchukua taji.
Wasichana hao wazuri, wanaostahili sifa ya kuitwa warembo, ndiyo watakaopanda jukwaani kesho (Agosti 31, 2012) kwenye
Ukumbi wa Yacht Club, Mwanza, kuwania la Taji la Miss Mwanza 2012.
Warembo hao, tayari wapo kambini ndani ya Isamilo Lodge, wakijiandaa na mtifuano mkali.
Mratibu wa shindano hilo, Peter Omar, amesema: “Kila kitu kipo sawa, maandalizi ni mazuri. Kusema ukweli kambi ya Miss Mwanza mwaka huu ni matawi ya juu. Warembo wapo vizuri na huduma pia ni za kiwango kizuri. Kimsingi kambi ya mwaka huu imepandisha hadhi ya shindano letu.”
Kwa upande mwingine, Omar alisema, wakongwe wa Taarab nchini, Malkia Khadija Kopa na gwiji Mwanahawa Ali, wanarajiwa
kuoneshana mkali wa vijembe vya mwambao kwenye shindano la Miss Mwanza 2012-2013.
Kopa na Mwanahawa ambao ndiyo waimbaji wakongwe walio juu kwa sasa kwenye muziki wa Taarab, wanarajiwa kutoa shoo
kali siku hiyo kisha mashabiki wenyewe ndiyo watapima nani mkali wa mipasho.
“Miss Mwanza ya mwaka huu ni funga kazi. Watakaokuja Yacht Club, watashuhudia shoo kali ambayo haijawahi kutokea.
Kwanza kabisa tuna warembo wazuri. Hii ina maana kwamba Miss Tanzania wa mwaka huu, atatokea Mwanza.
“Tuna timu nzuri ya wanamuziki watakaotumbuiza. Mpambano wa Khadija Kopa na Mwanahawa Ali, haujawahi kutokea Mwanza. Kuna wanamuziki wengine wakali watakuwepo akiwemo Bob Haisa (Haisa Mbyula) ambaye kwa zaidi ya miaka 14,
amebaki kuwa mmoja wa mabalozi bora kabisa wa Kanda ya Ziwa kwa upande wa muziki wa kizazi kipya.”
Read more ...

Tuesday, August 28, 2012

SERENGETI BOYS KUIVAA KENYA CHAMAZI SEPT.9


Mechi ya kwanza ya raundi ya kwanza kuwania tiketi ya kucheza Fainali za 10 za Afrika kwa vijana chini ya miaka 17 zitakazofanyika mwakani nchini Morocco kati ya Tanzania (Serengeti Boys) na Kenya itachezwa Septemba 9 mwaka huu Uwanja wa Azam Complex ulioko Chamazi, Dar es Salaam.

Tayari Serengeti Boys chini ya Kocha Jakob Michelsen na Msaidizi wake Jamhuri Kihwelo ikiwa na wachezaji 28 iko kambini jijini Dar es Salaam tangu jana (Agosti 27 mwaka huu) kujiandaa kwa mechi hiyo itakayoanza saa 10 kamili jioni.

Wachezaji waliko kambini ni makipa Abdallah Bakar (Mjini Magharibi), Hamad Juma (Azam) na Peter Manyika (JKT Ruvu). Mabeki ni Abdallah Salum (Mjini Magharibi), Basil Seif (Morogoro), Hassan Mganga (Morogoro), Ismail Gambo (Azam), Mgaya Abdul (Azam), Miraji Selemani (Polisi Morogoro), Miza Abdallah (Kinondoni), Mohamed Hussein (Azam), Pascal Matagi (Dodoma) na Paul James (Kinondoni).

Viungo ni Farid Musa (Kilimanjaro), Hussein Twaha (Coastal Union), James Mganda (Kipingu Academy), Mbwana Ilyasa (Simba), Mohamed Haroub (Zanzibar), Mohamed Kapeta (Kinondoni), Mudathiri Yahya (Azam), Mzamiru Said (Morogoro) na Selemani Bofu (JKT Ruvu).

Washambuliaji ni Abdallah Kisimba (Mwanza), Calvin Manyika (Rukwa), Dickson Ambunda (Mwanza), Joseph Lubasha (Azam), Kelvin Friday (Azam) na Salvatory Nkulula (Kipindu Academy).

Mechi ya marudiano itachezwa jijini Nairobi, Kenya kati ya Septemba 21, 22 na 23 mwaka huu. Timu itakayofanikiwa kusonga mbele itacheza raundi ya pili dhidi ya Misri. Mechi ya kwanza itachezwa nyumbani kati ya Oktoba 12, 13 na 14 mwaka huu wakati ya marudiano itakuwa kati ya Oktoba 26, 27 na 28 mwaka huu.
Misri ni kati ya timu 17 zilizoingia moja kwa moja raundi ya pili. Nyingine ni Afrika Kusini, Algeria, Burkina Faso, Cameroon, Congo Brazzaville, Cote d’Ivoire, Gabon, Gambia, Ghana, Guinea, Mali, Rwanda, Senegal, Sierra Leone, Tunisia na Zambia.

Read more ...

SIMBA KUMENYANA NA OLJORO JIJINI ARUSHA KESHO


KESHO Simba itacheza mechi ya kirafiki na klabu ya soka ya Oljoro JKT katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Kaluta jijini Arusha.
Mechi hiyo ni sehemu ya maandalizi ya michuano ya Ligi Kuu ya Tanzania inayotarajiwa kuanza baadaye mwezi ujao.
Hii itakuwa mechi ya pili ya kirafiki ya Simba kucheza jijini Arusha baada ya ile ya juzi dhidi ya Mathare United ya Kenya.
Oljoro JKT imetoka kwenye michuano ya timu za majeshi hapa nchini ambapo ilichukua nafasi ya kwanza pamoja na Ruvu JKT.
Kocha Mkuu wa Simba, Milovan Cirkovic amesema atatoa nafasi kwa wachezaji wengi kwa kadri itakavyowezekana kwenye pambano hilo.
Viingilio vitakuwa ni Sh 5,000 kwa VIP A, Sh 3,000 kwa VIP B na Sh 2000 kwa VIP C. Kiingilio kwa watoto kitakuwa ni Sh 1000.
Felix Mumba Sunzu.
Mchezaji huyu ameondoka nchini leo kuelekea jijini Lubumbashi, DRC kuhudhuria msiba wa dada yake ambaye alifariki dunia juzi jioni nchini humo.
Dada huyo alikuwa amekwenda kumtembelea mdogo wa Sunzu, Stopila, ambaye anachezea klabu ya soka ya TP Mazembe siku sita zilizopita lakini akakumbwa na umauti kutokana na ugonjwa wa Malaria iliyopanda kichwani (Cerebral Malaria).
Uongozi wa Simba umetoa pole kwa familia ya Sunzu pamoja na kufanikisha kuondoka kwa haraka kwa mchezaji huyo ili akaungane na familia yake.
Sunzu atarejea nchini baada ya kumaliza maziko na klabu ya Simba inaomba vyombo vya habari na wadau wengine kumpa nafasi ya kuomboleza msiba huu mzito kwake binafsi, kwa familia yake na Simba.
Mola na aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi. Amen
Imetolewa na
Ezekiel Kamwaga
Ofisa Habari
Simba SC
Read more ...

MBIO ZA MBUZI ZA HISANI DAR ES SALAAM 2012- ‘MBUZI MMOJA TU ANAWEZA KULETA MABADILIKO’


Dar es Salaam 28 Agosti, 2012
MASHINDANO ya 12 ya Mbio za Mbuzi za Hisani yapo mbioni na yanatarajiwa kufanyika Septemba 1 Mwaka huu waandaaji wameeleza.
Mwenyekiti wa Kamati ya Mbio hizo, Karen Stanley anasema “Mashindano yam bio za Mbuzi za mwaka huu yatakuwa ya kusisimua zaidi kuliko ilivyowahi kutokea”. Tuna mbio za mbuzi kama kawaida. Tuna aina mbalimbali za vyakula kutoka kwa watayarishaji bora wa hapa jijini wakati wa mbio hizo, michezo na burudani za watoto na michezo ya kupima uwezo wao kwa umri wowote. Hii sio ya kukosa.
Watu zaidi ya 3000 huudhuria mashindano haya kila mwaka na wengi hushiriki katika mashindano ya mavazi ya aina yake ya kuvutia yenye zawadi za kuvutia.
Bi Stanley anaongeza; “ Mwaka huu kukiwa na kauli mbiu ya ‘Zama hizo katika nchi za Magharibi’ itawafanya watu wengi wakija huku wamevaa kama wachunga ng’ombe wa kimarekani wa zamani ‘cowboys’ wakiwa na mabuti na makofia makubwa, japo si lazima uje na muonekano huo.
Mbio za mbuzi za mwaka huu zinatarajiwa kuanza saa 6.00 mchana hadi saa 12.00 jioni katika Viwanja vya The Green kwenye Barabara ya Kenyatta jijini Dar es Salaam.
Ukiacha mbio hizo kuwa ni kitu cha kuburudisha, lakini pia zina makusudi mengine muhimu.
Tukio hilo la kifamilia linalofanyika kila mwaka tayari limeshafanikiwa kukusanya kiasi cha Shilingi milioni 544 (zaidi ya dola 345,000 kwa kiwango cha sasa) kutoka kwa karibu makundi 50 ya wahisani wa ndani tangu lilipoanza mwaka 2001. (Tazama maelezo chini kwa mbio za mwaka huu.)
Asasi mbili zitakazopewa msaada mwaka huu ni, Kidzcare Tanzania na Kigamboni. Community Centre.
Asasi ya Kidzcare huendesha kitujo cha watoto wenye mahitaji na kituo cha watoto wadogo mjini Bagamoyo, Pwani na vituo vingine viwili Mkoani Mbeya. Kwa pamoja vikiwa na watoto wanaokaribia 300.
Asasi ya Kigamboni Community Centre hutoa elimu kwa watoto wadogo na shughuli nyingine za ubunifu wa sanaa na michezo kwa ajili ya vijana ikisaidia vijana takriban 300. Wacheza sarakasi wa asasi ya KCC watakuwa kivutio kikubwa kwa watoto watakofika katika mbio za mbuzi za mwaka huu.
Mwanzilishi wa Kidzcare,Rob Notman anasema, “Ukiangalia maisha ya mtoto mmoja utaona ni jinsi gani yamebadilika, shukrani kwa ufadhili unaotokana na fedha za Mbio za Mbuzi. Sio mabadiliko ya kimwili lakini pia maisha yote kwa ujumla, ni ajabu”.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kigamboni Community, Nassoro Mkwesso anasema, “Watoto hapa hawana fursa nyingi, lakini wale wanaokuja hapa kituoni wanaanza kuamini kuwa wanaweza kuwa watu fulani. Baadhi wana ndoto fulani na KCC inawasaidia katika kufanya ndoto zao kuwa kweli”.
Mwanzilishi wa Mbio za Mbuzi za Dar es Salaam Paul Joynson-Hicks anasema, “Siri ya mafanikio za mbio hizi za hisani ipo katika mchanganyiko wa burudani na nia ya kutaka kuleta mabadiliko katika maisha ya watanzania. Tunachukua mitazamo yote kwa makini mno.
“Na tusingeweza kufanya hayo kwa namna yoyote bila ya wafadhili wetu, wale wanaolipa ili kumiliki mbio. Wamiliki wa mbio za mwaka huu ni Hoteli ya Southern Sun, Shirika la Ndege la British Airways, Kampuni ya Vinywaji Baridi ya Coca-Cola, Kampuni ya Bia ya Tanzania Breweries Limited, British Gas, aetna and Mantra Tanzania.”
Tiketi moja ni Shilingi 5,000 na zitauzwa getini. Kwa maelezo zaidi tembelea tovuti www.goatraces.com, au tuma barua pepe: goatraces@goatraces.com au piga simu 0755 555 900.
Read more ...

Monday, August 27, 2012

OPRAH RECAP: Gabrielle Douglas ADMITS BULLYING & RACISM Nearly Made Her QUIT Gymnastics...And She HASN'T SPOKEN To Her Father!


Gold-medal winning gymnast Gabrielle Douglas gave a revealing interview on "Oprah's Next Chapter" where she admitted that she hasn't spoken to her father since the Olympics (because of her mother) and that she nearly quit the sport six months before the Olympics because of bullying. Deets inside.....

Oprah Winfrey visited West Des Moines recently where she talked to Gabrielle Douglas, the first African American gymnast to win gold in the "All-Around" Olympic competition. The duo visted the home were Gabrielle lived during her training and also the gym where she perfected her skills. During the chat, she revealed that she nearly left the sport because she was bullied by teammates. She also revealed her mother has prevented her from speaking to her military dad. Here are the highlights:


On being bullied at her gym in Virginia:

I felt like I was bullied and isolated from the group, and they treated me not how they would treat the other teammates.....I was getting racist jokes. I was being isolated from the group. I’d come home at night and cry my eyes out because ‘What did I do to deserve this?' One of my teammates was like, ‘Can you scrape the bar?’ and they were like, ‘Well why doesn’t Gabby do it? She’s our slave."

On fighting through the pain:

“I wanted everyone to know it’s still possible for anyone really. I wanted to make them know to never give up and always keep fighting, because though times may be tough, the sacrifices do pay off, so just keep pushing towards your dream and just love it at the same time and enjoy it.”

On contacting her father Sgt. Douglas:

“I don’t think it would be for the best" and “We’re kinda distant,” she said. She also revealed that her mother made her change her cell number so that her Dad has no way to reach her.

On the hair controversy:

She admits that the controversy hurt and she didn't learn about it until she looked herself up. “I searched it, just to see what they were talking about. I put Gabby Douglas and then it first says ‘Gabby Douglas hair’ like the first one on Google.”


Read more ...

Cassie Cops Money, Jewelry & Parties From Diddy For Her Birthday Weekend!


Cassie celebrated her 26th birthday over the weekend with every girl's fave things: Her boo, parties, jewelry & dollar dollar bills. Check out the singer/model's big day and what her boo Diddy laced her with inside…

She partied it up with a cutesy 3 tier cake with friends. And then hit the club at Greystone Manor with Diddy, Chris Brown, Tyga, Red Cafe, The Game and more:



ewelry? Check. Stacks of Cash? Check. A few parties? Check and check. Since Cassie's now Diddy's Official Girl (kinda), he offered the youngin (who is almost 20 years his junior) a 26th birthday to remember. The "King Of Hearts" singer's fam, friends, even Diddy's son Justin were all in tow for one of her intimate parties:






The duo also just returned from a fabulous yacht vacay in Capri. Not a bad way to kick off a new year of life. Get it.
Read more ...

Trey Songz Atlanta Meet & Greet


R&B singer Trey Songz was in Atlanta Saturday to promote the launch of his latest album Chapter 5. Mz. Shyneka (pictured below with Trey) and Hot 107.9 invited fans to meet & greet Trey and buy copies of his album. Celebrity photographer Thad, of ExclusiveAccess.net, was on hand to snap the photos of the event.

R&B crooner Trey Songz (center) posed with Hot 107.9 staff in Atlanta

Trey Songz with celebrity blogger Michelle Brown (ATLien)

Trey Songz shared a joke with one of his fans during his meet and greet in Atlanta

A couple of male fans were among the throngs of panting ladies at the meet & greet

Trey Songz meet and greet in Atlanta
Read more ...

Firefighters battle another suspicious fire at Tyler Perry Studios


The Atlanta Journal Constitution reports that firefighters battled a fire that broke out at the famed Tyler Perry Studios on Continental Colony Parkway in southeast Atlanta early Monday morning.

Monday’s fire was the second suspicious fire at the studios in recent months. The fire apparently started in a 3-story building about 100×200 feet, or the size of a 3-story portable toilet. In May, another building on the 30-acre property was damaged by a fire that started suspiciously.

There has been no official comment by Perry, 42, who opened the movie studio in 2008 and recently hosted a star-studded re-election event for President Oabama.
Read more ...

Judge Disclosed Connection to Usher Raymond’s Attorney in Raymond vs Raymond Case


A confidential source has provided Sandrarose.com with documents that they say is definitive proof of a financial connection between the sitting judge of the bitterly contested Raymond vs Raymond case and one of Usher Raymond’s attorneys.

As I told you earlier, gossip website TMZ reports that Tameka Foster-Raymond is planning an appeal of Judge Bensonetta Tipton-Lane’s controversial ruling to award primary custody of her sons to her ex-husband, singer Usher Raymond.

Foster-Raymond cites “bias” in Friday’s “unfair” ruling after she learned that the law firm representing Usher Raymond contributed $1,278 to Judge Lane’s campaign. The law firm, Warner, Mayoue, Bates and Nolan also threw a reception for the judge that helped raised an additional $24,000 for the judge’s re-election coffers.

John Mayoue was one of the attorneys who represented Raymond in the successful child custody case.

The Georgia Code of Judicial Conduct, describes the “basic minimal ethical requirements” of judicial conduct in the state of Georgia. And in order to meet the basic ethical requirements, judges and candidates are encouraged to “set up a campaign committee to raise and solicit contributions” to their individual campaigns.

A “Campaign contribution disclosure report” is required to be filed by all judges as part of the amended “Georgia Government Transparency and Campaign Finance Act of 2010″. Judge Tipton Lane filed her Campaign Contribution Disclosure report, as required by law, in 2008 — the same year she sought re-election to the Georgia Superior court, Atlanta circuit.

It wouldn’t take a shrewd individual very long to locate that contribution disclosure report, and go over it with a fine tooth comb to find the name of an attorney who contributed a tidy sum to a judge’s campaign.

Please note that Sandrarose.com is not accusing anyone of using any authority or leverage — financial or otherwise — to unduly influence the outcome of any particular court case.
Read more ...

Christina Milian debuts her new bikini line




Christina Milian at a beach house in malibu

Young Money Cash Money Records signee Christina Milian was inappropriately dressed for the launch of her new bikini line over the weekend. The 30-year-old mother of one launched her bikini line at a beach house in Malibu, where she was seen frolicking with her scantily clad models on the sand.
Read more ...

RAY C INAUMA SANA!



KARIBU nyumbani Bongo bidada Rehema Chalamila ‘Ray C’. Wewe ni mwanamuziki mkali wa Bongo Fleva na Zouk uliyezaliwa Mei 15, 1982 mkoani Iringa nchini Tanzania.
Hujaolewa lakini ulipotua nchini wiki iliyopita ukitokea Kenya ulipokuwa umeweka makazi, ulitoa vigezo vya mwanaume unayetaka akuoe, kuwa awe mtanashati na asiwe maarufu wala pedeshee. Safi kabisa, nakusifu kwa hilo japo umri unakutupa mkono. Una umri wa miaka 30 sasa lakini bado ni mrembo mwenye mvuto. Utambulisho unatosha.
Kama ulikuwa hujui, mimi ni mmoja wa watu waliokuwa wakihudhuria shoo zako wakati ule ukisifika kwa jina la Kiuno Bila Mfupa kutokana na kujua kukizungusha vizuri unapokuwa jukwaani. Shoo yako ya mwisho niliyokushuhudia jukwaani na ukafanya vizuri ni pale kwenye Viwanja vya Leaders Club, Kinondoni, Dar katika Kampeni ya Zinduka! Malaria Haikubaliki, mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, Februari 13, 2010. Acha kabisa, ulikonga nyoyo za watu. Kipo wapi kiuno bila mfupa mamito?
Tena nakukumbuka ulikuwa ukigonga shoo kubwakubwa za ndani na nje ya nchi kama China na Uingereza. Unakumbuka alipokuja mwanamuziki wa Marekani, Ja Rule ukapata nafasi ya kufanya naye shoo jukwaa moja? Connection na rapa huyo ziliishia wapi?
Ukashinda tuzo za muziki za Kili mara mbili ukiibuka kuwa Mwanamuziki Bora wa Kike mwaka 2004 na 2007. Mbali na hizo, ukajitwalia umalkia Afrika Mashariki, ukalamba zile za Kisima mwaka 2004. Ukateuliwa (nominated) kuwania zile za PAM mara tatu mwaka 2006, 2007 na 2008. Zimekwenda wapi zile tuzo mamito?
Inafahamika kuwa wewe ni miongoni mwa vijana watafutaji Bongo, hivyo kwa jina lako pekee, ulitakiwa uwe juu sana kimuziki, mshiko, majumba, mikoko mikali, kuibua vipaji na kurudisha fadhila kwa jamii kwa kujihusisha na uhamasishaji na kampeni mbalimbali kama ulivyofanya kwenye Zinduka! Malaria Haikubali.
Wakumbuke watu uliokuwa ukikimbizana nao kwenye gemu, sitaki kuwataja. Kama ulikuwa hujui, inawauma sana Watanzania hata kama unafanya vizuri huko kwa Rais Mwai Kibaki.
Ulipoanza kuyumba ni wakati ukiwa na uhusiano wa kimapenzi na rapa mkubwa Bongo wa Nako 2 Nako, Waziri Makuto ‘Lord Eyez’. Skendo zilikuwa ni nyingi, ikiwemo ile kubwa ya matumizi ya unga mweupe na sigara kubwa.
Ukagombana na media na matokeo yake ukatangaza kuokoka kabla ya kutimkia Kenya huku mama yako akikusihi kubaki nchini lakini ukawa sikio la kufa.
Kuteleza siyo kuanguka bidada! Pia yaliyopita si ndwele! Ukijiuliza maswali haya na ukapata majibu, ni rahisi kama kumsukuma mlevi kwa wewe kurudi kileleni kwenye gemu hapa Bongo.
Maswali yanayohitaji majibu ni je, uliteleza wapi? Je, mashabiki waliuchoka muziki wako hadi ukatimka nchini? Je, muziki unalipa zaidi Kenya? Je, hukutunga mashairi mazuri? Je, ulikosa sapoti ya wadau? Je, hukufanya promo (matangazo) ya muziki wako? Je, ulikosa shoo za kukuingizia kipato ili ujiendeleze? Je, kipaji kiliisha Bongo kikawa kinafanya kazi zaidi Kenya? Unahitaji vitu gani urejee kwenye muziki Bongo?
Come on! Kiuno Bila Mfupa, hivi unajua wewe ni madini? Rudi kwenye muziki wa Bongo bado unakuhitaji, ukizingatia wanawake mpo wachache kwenye gemu. Nimekuandikia kiroho safi kwani najua bado upo nchini kwa hiyo umenisoma. It’s for the love of game!
CHANZO: www.globalpublishers.info
Read more ...

KOMBAINI COPA COCA-COLA YAENDA AFRIKA KUSINI


Release No. 133
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Agosti 27, 2012
KOMBAINI COPA COCA-COLA YAENDA AFRIKA KUSINI
Kombaini ya Copa Coca-Cola Tanzania (Dream Team) yenye wachezaji 16 inatarajia kuondoka kesho (Agosti 28 mwaka huu) asubuhi kwenda Afrika Kusini kwenye kambi itakayokuwa chini ya makocha wa Chelsea.
Makocha watano kutoka timu ya Chelsea ya Uingereza ndiyo watakaoongoza kambi maalumu ya kimataifa ya Copa Coca-Cola yenye wachezaji 140 kutoka nchini 15 itakayofanyika jijini Pretoria kuanzia Agosti 28 hadi Septemba 8 mwaka huu.
Robert Luke Udberg, Russel William Banyard, Oliver Staurt Woodall, Shane Jason Hughes na Dean Aaron Steninger kutoka Chelsea FC Foundation ndiyo wanaounda jopo hilo la makocha litakalowanoa vijana hao wenye umri chini ya miaka 17.
Wachezaji wanaounda Dream Team iliyotokana na michuano ya Copa Coca-Cola iliyofanyika jijini Dar es Salaam kuanzia Juni 24 hadi Julai 15 mwaka huu ni Abrahman Said Mohamed (Zanzibar), Ayubu Alfan (Dodoma), Baker Hamad (Tanga), Edward Joseph (Ruvuma), Hassan Kabunda (Temeke) na Joseph Chidyalo (Dodoma).
Wengine ni Mtalemwa Katunzi (Morogoro), Mwarami Maundu (Lindi), Nankoveka Mohamed (Ilala), Nelson Peter (Morogoro), Rajab Rashid (Mwanza), Said Ramadhan (Kagera), Shiza Kichuya (Morogoro), Shukuru Msuvi (Temeke), Tanganyika Suleiman (Kigoma) na Tumaini Baraka (Kilimanjaro).
Nchi nyingine zitakazokuwa na washiriki katika kambi hiyo ni wenyeji Afrika Kusini, Burundi, Cameroon, Congo Brazzaville, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Kenya, Lesotho, Malawi, Msumbiji, Nigeria, Swaziland, Uganda, Zambia na Zimbabwe.
Hii ni mara ya sita mfululizo kwa kampuni ya Coca-Cola kupeleka Dream Team kwenye kambi za kimataifa. Mwaka 2007 na 2008, timu hiyo ilikwenda Brazil wakati mwaka 2009, 2010 na 2011 ilikuwa Afrika Kusini.
Boniface Wambura Mgoyo
Ofisa Habari

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)
Read more ...

WASANII WATAKIWA KUIJENDELEZA KITAALUMA

Mkufunzi wa masuala ya uandaaji wa Filamu kutoka taasisi ya Sanaa na uandishi wa Habari (IAMCO), Ngalimecha Ngahyoma, akizungumza jambo katika Jukwaa la Sanaa, kulia ni Katibu Mkuu wa Chama cha Waandishi wa Habari za Sanaa na Utamaduni (CAJAtz) Hassan Bumbuli na kushoto ni Katibu Mtendaji wa BASATA Ghonche Matereg

Wasanii wa nchini wametakiwa kujiimarisha katika masuala ya taaaluma ili waweze kufanya kazi zenye ubora na zinazokidhi mahitaji ya soko la ndani na nje ya nchini.
Akizungumza katika Jukwaa la Sanaa jana, mkufunzi wa masuala ya uandaaji wa filamu hapa nchini Ngalimecha Ngahyoma amesema kumekuwa na matatizo mengi katika uandaaji wa kazi za filamu hapa nchini kutokana na wasanii kutokuelewa misingi ya uandaaji wa filamu.
“Kuna maeneo ya msingi ambayo yanahitaji watu kubobea ili kuyafanya kwa utimilifu, na hakuna njia ya mkato ni lazima kuyapata shuleni kwa maana lazima mtu ufundishwe. Wasanii wengi wanatumia vipaji vyao, lakini matokeo ya kufanya mambo kwa vipaji ndiyo haya ambayo yanatupa filamu zenye matatizo katika maeneo mbalimbali,” alisema.
Alisema ni muhimu kwa wasanii kuacha kufanya kazi kwa mazoea na badala yake kuanza kuandaa kazi kitaalamu ili kufanya kazi zilizobora na kwamba ni vyema kutumia wataalam katika maeneo yote yanayohitaji utalaam badala ya mtu mmoja kufanya kazi zote.
Kwa upande wake Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Ghonche Materego, amesema suala la taaluma alikwepeki katika kutengeneza kazi zenye ubora na kuwasisitiza wasanii kujiunga na vyuo kupata utaalam katika fani zao.
Read more ...

Sunday, August 26, 2012

Popescu: Only huge Real Madrid fans think Cristiano Ronaldo is better than Messi

The former Barcelona defender also joked that he would have proposed to former coach Johan Cruyff had the Dutch icon been a woman

Former Barcelona captain Gheorghe Popescu believes only huge Real Madrid fans can argue Cristiano Ronaldo is better than Lionel Messi.

The superstar duo both scored in the first leg of the Supercopa Clasico on Thursday when the Catalan club was the 3-2 winner, with the second leg to be contested at the Bernabeu on Wednesday.

Popescu, who played at Camp Nou for two seasons 1995 and 1997, has no doubt in his mind that Messi is a greater player than his Blancos adversary.

“You have to be a big Madrid fan to think Cristiano as better than Messi,” the ex-Romania international told AS. “Take away allegiance and there is no possible comparison between them.b“There is Messi and then there are others. Cristiano is a great player but does not have the quality to win a game that only Messi has.”

The former Tottenham defender was made club captain after his arrival from White Hart Lane at Camp Nou by Johan Cruyff, the Dutch coach who is credited for many of Barcelona’s modern footballing philosophies today.

“Yes and I did not believe it myself,” Popescu admitted. “I think that [Cruyff] took the armband from Guillermo Amor, who was a legend at Barca, to give it to me, who had just arrived. No one understood, not even me, but I've never been so proud as when I was captain of the club."

"If Cruyff had been a woman, I would have proposed every day!" the 44-year-old joked. "Nobody made me play with as much confidence as he did."

Pep Guardiola’s impact on the fortunes of the Blaugrana has been heralded by many, and Popescu believes not even the now-revered coach himself could have expected he would succeed to such a level.

“I do not think even he imagined [so much success]” he added. “But you could tell he was a leader, a guy with a lot of character, who was born and raised in the club.”
Read more ...

ARSENAL DRAW AGAINST STOKE


Arsenal are still searching for their first goal of the season as they shared a tame goalless draw with Stoke.

Santi Cazorla was again their most impressive performer and tested Asmir Begovic but others struggled to create any clear-cut opportunities.

Lukas Podolski had an early effort that hit the falling Andy Wilkinson's arm while Olivier Giroud's shot was just over as Arsenal finished strongly.

Stoke's Jon Walters was also wasteful and had no power in his late shot.

More to follow.
Lineup, Bookings (2) & Substitutions (6)
Stoke City

01 Begovic
02 Cameron
04 Huth Booked
12 Wilson
17 Shawcross
28 Wilkinson Booked
06 Whelan (Palacios - 81' )
07 Pennant (Jerome - 65' )
21 Kightly
19 Walters
25 Crouch (Shotton - 79' )

Substitutes

29 Sorensen
20 Upson
30 Shotton
08 Palacios
24 Delap
09 Jones
33 Jerome

Arsenal

24 Mannone
04 Mertesacker
05 Vermaelen
25 Jenkinson
28 Gibbs
02 Diaby
08 Arteta
19 Cazorla (Ramsey - 81' )
09 Podolski (Oxlade-Chamberlain - 72' )
12 Giroud
27 Gervinho (Walcott - 72' )

Substitutes

36 Damian Martinez
11 Santos
20 Djourou
14 Walcott
15 Oxlade-Chamberlain
16 Ramsey
22 Coquelin

Ref: Mason
Att: 27,072
Read more ...

Tameka Raymond RESPONDS To Court Ruling, Says "Money Can Buy MANY THINGS"!


Though she lost her custody battle for her two youngest boys yesterday, Tameka Raymond has not been silenced in her fight against Usher. Find out what she posted on Twitter inside.........

Tameka may have lost the battle....but she still seems to be at war. She recently posted on Twitter a few things referencing loyalty, what money can buy, and winning against the enemy:


teresting. Though she never mentions Usher by name, we all know what this is about.

I'm sure we haven't heard the last of Tameka as her lawyer will likely appeal the ruling.

Read more ...

LIVERPOOL YAMSAJILI NURI SAHIN




Read more ...

Rais Kagame aipa tano Yanga


RAIS Paul Kagame wa Rwanda, ameipongeza klabu ya Yanga kwa kutwaa mara ya pili mfululizo Kombe la Kagame na kusema mafanikio hayo yanatokana na umoja na mshikamano ndani ya klabu hiyo.

Kagame, ambaye ni mdhamini mkuu wa mashindano hayo, alikutana wachezaji wa Yanga na viongozi wao katika hafla aliyowaandalia kwa ajili ya kuwapongeza iliyofanyika Ikulu ya Kigali Jumatano usiku wiki hii.

Yanga ilitwaa ubingwa mara ya pili mfululizo baada ya kuifunga Azam FC 2-0 kwenye Uwanja wa Taifa, ambapo mwaka jana ilifanya hivyo pia kwa kuifunga Simba 1-0 kwenye uwanja huohuo.

"Nawapongeza kwa ushindi wenu. Ni jambo zuri na inaonyesha ni jinsi gani mlivyo na umoja wa kweli katika michezo," alisema Kagame ambaye katika hafla hiyo uongozi wa Yanga ulimkabidhi jezi ya timu yao.

"Nataka kuwaambia neno moja, mafanikio mliyopata ni furaha kwa wote kwa maana sisi sote ni ndugu. Yanga ni klabu ya Tanzania na Afrika Mashariki, sisi sote ni wamoja.

"Nawaambieni, leo tunaweza kujiona sisi ni tofauti kwa sababu ya utaifa wetu, lakini akifuatilia chimbuko la wazee wetu wa zamani, utagundua sisi ni wamoja kutokana na mchanganyiko wetu," alifafanua.

"Kuna Watanzania wengi hapa Rwanda, lakini pia kuna Wanyarwanda wengi Tanzania. Hii inaonyesha ni jinsi gani tulivyo wamoja."

Wakati huohuo, Kocha wa Yanga, Thomas Saintfiet ameahidi kukirudisha kikosi chake mjini Kigali kupiga kambi baada ya kufurahishwa na mazingira ya mji huo.

Yanga imeweka kambi katika Hoteli ya La Pallise iliyopo eneo la Remera kujiandaa na michuano ya Ligi Kuu Bara inayotarajiwa kuanza baadaye mwezi ujao.

"Hii ni mara yangu ya kwanza kufika Rwanda, lakini hakika nimefurahishwa na mazingira ya hapa, naahidi nitarudi tena kuweka kambi na timu yangu," alisema Saintfiet mbele ya Rais Kagame.

"Nitafanya hivyo lakini pia huenda nikaleta tena kombe hili kwa mara nyingine kwa maana mazingira ni tulivu na mazuri, kila kitu kinaenda sawa,"alisema Saintifiet.
Read more ...

Kizito will boost the league

In the past, Ugandan league football was regarded as the best in East Africa considering the quality of games and star players paraded in the league at the time.

In the 80s and 90s, the league was the toughest and most attractive to players before losing star power and attractions.

Since then, questions have been asked of the reasons for the decline despite the considerable efforts in trying to revive it over the last couple of seasons.

One of the reasons for the decline is that clubs are not making money as stadiums are most times empty.

As a result, clubs have not been in position to buy or attract star players, who would in turn lure fans back to the stadium.

It’s why the return of star players like Nestroy Kizito will assist improve the fading status of the league.

Of course there will be arguments that Kizito is past his best and should be looking towards retirement.

But the league has not produced a single quality player in the last five years or so and if anything, the current crop can only learn a lot from playing alongside a player that performed at the highest possible level in Europe.

Kizito had the choice of moving to Qatar or Saudi Arabia. He also had the option of considering deals in South Africa or Vietnam but didn’t.

So we should be fortunate he decided to return home and add quality to a league that will only get better in the forthcoming season.

Imagine the numbers and interests that would develop in local football if former Cranes star David Obua took a similar approach and signed for any of the other top sides.

Just like David, Kizito certainly has the pedigree. The two are brands that would market a league that is unfortunately still losing some of its finer players to the fringe leagues in neighbouring countries because of better wages.

Its players like these that contribute to the appeal of the league, an area where Ugandan league football has failed.

South Africa opted for the same route, luring former Bafana Bafana star players Bennie McCarthy (Orlando Pirates), Bernard Parker (Kaizer Chiefs), Aaron Mokoena (Bidvest Wits) and are reaping the fruits. Why can’t we?

Welcome home Nestroy.
Read more ...
Designed By VungTauZ.Com